Botanix – Jarida kuhusu mimea

Toleo la Kiswahili

Hifadhi ya makala zote

Hapa utaona makala zote zinazopatikana kwenye Botanix zikiwa zimeandikwa kwa lugha ya Kiswahili.

Category: zote Konifa Maelekezo juu ya uoto wa mimea Majani Michikichi Mimea inayotumia maji mengi na mimea ya majini Mimea ya kigeni Uyoga Wadudu

Author:

2011

Julai (13)

Hifadhi nyaraka ya mwezi: Septemba 2009 (2 texty)

Embe Kalimantan, Kasturi (Mangifera casturi)

Embe Kalimantan (Mangifera casturi) au kienyeji unajulikana kama Kasturi ni tunda la mti wa matunda ya msimu wa joto, wenye urefu wa takribani mita 10–30, unapatikana kwenye eneo dogo la Banjarmasin, Kusini mwa Borneo (Indonesia). Siku hizi miti hii imeadimika sehemu za porini kutokana na kukatwa katwa kinyume cha sheria. Hata hivyo bado inalimwa kwa kiasi kidogo katika eneo hili kutokana na utamu wa matunda yake.

Jumatatu 7.9.2009 12:48 | chapa | Mimea ya kigeni

Kukuza mwembe kutoka mbegu

Unatakiwa kupanda mbegu iliyovunwa vizuri, ili kupata matokeo mazuri ya uotaji. Loanisha mbegu kwenye maji yenye kiwango cha joto karibu nyuzijoto 20–25 kwa muda wa takribani saa 2–6.

Jumanne 1.9.2009 07:01 | chapa | Mimea ya kigeni

Kurasa: hakuna kusanya zingine. Nenda juu ya hifadhi nyaraka

Kuhusu KPR

KPR - Klabu ya Wakulima wa Bustani Slovakia
KPR - Klabu ya Wakulima wa Bustani ni shirika la kimataifa la wakulima wa bustani. Soma zaidi...
Shirikisha uzoefu wako kuhusu ukuzaji mimea. Andika makala kuhusu ukulima wa bustani, mimea, upandaji wa mimea nk. na uichapishe kwenye toleo la lugha yako la jarida letu la Botanix! Wasiliana nasi kwa taarifa zaidi.